NAWACHUKIA WANAWAKE (3)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 мар 2025
  • #bhailam#Gumbo

Комментарии • 47

  • @aka47gang
    @aka47gang Год назад +20

    Mapenz ayan samani ata kidog 😂😂😂anae kubali gong like ap🙏

  • @mercyfaith8566
    @mercyfaith8566 Год назад +5

    Wee kanumba amka uone kakako anavyo kiwasha isay😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Bailam hongera baba eee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @PhilomenaKangalawe
    @PhilomenaKangalawe Год назад +7

    Jamn Hadi huruma mwanaume anamlilia mwanmke😂😂 njoo kwngu unililie

  • @muhaproduction3325
    @muhaproduction3325 Год назад +3

    bhailam nafatilia sana movie zako lkn nyingi huwa hazifaoki mwisho

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t Год назад +1

    Mapenzi shikamoo nayachukia mm mwenzen 😊

  • @OripaMosha
    @OripaMosha Год назад +1

    😮😮😮

  • @jospinsadiki4580
    @jospinsadiki4580 Год назад

    bhailam weye nakukubali sana umeongeya kweli sana🎉

  • @LameckWillison
    @LameckWillison 10 месяцев назад

    Tuna penda zaidi shetan

  • @komlaakomlaa7465
    @komlaakomlaa7465 Год назад +3

    Huyo mwanamke hajieshimu acha wamtumie

  • @KassimuMsabaha-v3q
    @KassimuMsabaha-v3q 10 месяцев назад

    Mwanamke ndo kiumbe Cha ajabu kuliko viumbe vyt

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Год назад +1

    Duuuh mapenzi mabaya sana alooo

  • @aishakassim75
    @aishakassim75 Год назад +2

    Mapenzi nyokoo 😏😏😏

  • @omelanuwiteka1276
    @omelanuwiteka1276 Год назад +6

    Jmn ukipata bahati ya kumtesa mwanaume mtese tu maana hivi viumbe😂😂😂😂😂nikipata wakunililia mbona nitamliza mpaka akili imkae sawa😏😏😏😏😂😂😂😂

    • @mohdchuma78
      @mohdchuma78 Год назад +2

      Na mm nikijuw mwanamke ananipend weee!huwa nampelekesha sio poa

    • @mohdchuma78
      @mohdchuma78 Год назад +1

      Ujue kuna wanawake wengn wana mapepo ya ngono yan yy akumwambia unampend haelewi yy anatak ushike mkono bas ukale mzg imeisha tu.

    • @dariuskasitu4083
      @dariuskasitu4083 Год назад +1

      Me siwezi kumlilia mwanamke ata siku moja

    • @RachelJohn-cu1ms
      @RachelJohn-cu1ms Год назад

      😂😂😂😂

    • @RachelJohn-cu1ms
      @RachelJohn-cu1ms Год назад

      😢

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 11 месяцев назад

    Bailam unazambi yamakusud nacukiya🇧🇮

  • @Evarlne-gz8ou
    @Evarlne-gz8ou Год назад +1

    Mapenzi yanauma sana tena sana😮😮😮

  • @LameckJux
    @LameckJux Год назад +3

    Big Up Comedy Plus

  • @AsmaAmar-ok2gl
    @AsmaAmar-ok2gl Год назад +1

    Mbona adi leo haujatoka huuu

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 Год назад +3

    Ila wanawake jmn mungu atusamehe tunayofanya 😢😢😢sio vzr hata kama humtaki usiwe zibala daaah

    • @saidbaraka8996
      @saidbaraka8996 Год назад

      Kwanza wewe angel kwa uzuri gani eti maokoto😂😂😂

  • @LizikiHassani-vr2tv
    @LizikiHassani-vr2tv Год назад +5

    Nimemiss kubemberezwa 😂 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nimutese mtoto wamut😂

  • @JamilaMfalingundi
    @JamilaMfalingundi Год назад +1

    Jaman hv. Bado wapo wenye mapenz ya dhay.. Mpaka analia karne hii hii au

  • @adammodesto6626
    @adammodesto6626 Год назад +2

    Bailam unajua San

  • @ahmedmohammed9394
    @ahmedmohammed9394 Год назад +3

    The First viewer

  • @jeffyasin2977
    @jeffyasin2977 Год назад +7

    Hivi unamliliaje mwanamke ambae unaona kabisa hakupendi asee sawa unampenda ila yeye hakupendi wa nini asee wanaume wengine wanaufala sana asee

    • @hamadijuma4047
      @hamadijuma4047 Год назад

      We hujui tu maumivu ya mapenzi bwana mdogo

    • @AnnahLusia-bz3lc
      @AnnahLusia-bz3lc Год назад

      😂😂😂😂

    • @AnnahLusia-bz3lc
      @AnnahLusia-bz3lc Год назад

      ​@@hamadijuma4047hajui kabisa huyo😀😀😀😀

    • @SakinaHassani-xm7ti
      @SakinaHassani-xm7ti Год назад +1

      Usiseme hivyo au hujawai penda ww ? Maumivu yapo hatakama mtu akupend lazima uumie Kisha ndio uje uzoee

  • @VanillaVictor
    @VanillaVictor 11 месяцев назад

    Bhailamu maliza movie jaman

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад

    Kaz nzuri pole kaka❤❤❤

  • @radjabuharerimana2538
    @radjabuharerimana2538 Год назад +2

    Nikozangu kando naskilizia tu

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 Год назад +2

    Hio hela badala ubeti we unahonga

  • @RachelJohn-cu1ms
    @RachelJohn-cu1ms Год назад +1

    Jitaidini muwe munamariza movie zenu maana zote haziishi

  • @Alima-sl8jn
    @Alima-sl8jn Год назад +2

    POLE SANA KAKA MAPENDO NI MAMBO TU 😂😂😂❤❤

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd Год назад

    Sasa bhailam umebaki kwenye ile nyumba ya zamani tena ?hapo umejichanganya sanaa ungepaswa kurudi kua jirani yake mbwela baada ya kusimulia mahusiano yako yazamani.

  • @SeleMdosi-iv6ui
    @SeleMdosi-iv6ui 11 месяцев назад

    miyachukia kwel asa

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @BrianMonicah
    @BrianMonicah Год назад

    Love hurts men alot guys