SHILINGI Ep 82

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025
  • Subscribe kufuatilia tamthilia ya Shilingi kuanzia Mwanzo hadi Mwisho katika Channel hii.
    Comment kutuambia unachofikiria.
    Share na wenziyo wajue tuanze mwendo Episode zaidi ya moja kwa siku
    Like kuonyesha Love
    Mazuri mengi yanakuja Soon

Комментарии • 235

  • @dorothykawira-l2x
    @dorothykawira-l2x Год назад +2

    Jamani awa vijana wa kijijini nawapenda sana juu wanasahia sana❤

  • @MfarijiNyange
    @MfarijiNyange 10 месяцев назад +2

    Gutale njo wakwanza kunifurahisha jamani.
    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉

  • @zakayomwongera7506
    @zakayomwongera7506 Год назад +5

    Gutale uko fiti edelea kucheza kama ww from 🇰🇪

  • @mkidjohn
    @mkidjohn Год назад +62

    Ifike muda Mungu atujalie marafiki wa ukweli kama wake Michael coz siku hizi kupata real friends imekuwa mtihani plz may God tusaidie sana 🙏🏾❣️

  • @elizabethkithi3753
    @elizabethkithi3753 Год назад +19

    David anazid kumchanganya edna kwa mahaba duuuuh❤😂edna weweee nakupenda mpka bc😘😘

  • @susanchebet3298
    @susanchebet3298 Год назад +14

    Yani mm nisipomuona my favorite Butale sibambiki, nampenda Sana ❤

  • @GravitTaboi
    @GravitTaboi 11 месяцев назад +1

    Gutale umetisha yaani we acha tu,, 🤣😂🤣😂🤣 alafu mzeeee🤣🤣🤣🤣

  • @mtuariziki388
    @mtuariziki388 Год назад +1

    Yni hawa kina ibra hta wanachokea humo njiani😂😂😂wanazunguka wao kijiji kuzima😂😂

  • @MarkMnyama-fe4it
    @MarkMnyama-fe4it 11 месяцев назад +1

    Milambo mzee wa taikondoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rahmajuma2946
    @rahmajuma2946 Год назад +14

    Kutalee Nakupenda bure❤😂😂😂

    • @ZaldaM.ramadhani
      @ZaldaM.ramadhani Год назад

      😅 na mm jaman kutale ananifurahishaga sana ❤❤❤❤

    • @manirambonajeanne3876
      @manirambonajeanne3876 Год назад

      Hata mm ananifulahisha sana kwanza sauti yake navitu anajifanya vinanifanya nimupende alafu yaongea ukwer arafu mwenzake anamwite muzeh wakulopokwa namupenda sana 😂😂😂

  • @فطومفاطمه-ش2و
    @فطومفاطمه-ش2و Год назад +5

    Yaani Ibrah na Gutale hadi raha nawapendaje nyieeeee❤

  • @ayshanani
    @ayshanani Год назад +5

    Marafiki wa Michael ni marafiki wa ukweli sio wanafiki na wapenda Sana hongereni

  • @mariamalt5964
    @mariamalt5964 Год назад +5

    😂😂😂 gutale ananipa raha sana 😂😂😂

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq Год назад +1

    Yaan huu mcmu umeanza vzr sana kaz nzr wadau pia bg up kwa Roma

  • @mariamhamisi2889
    @mariamhamisi2889 Год назад +1

    😂😂😂😂membee jameni mwaniumisha mbavu😂zangu

  • @odettebarengeke2469
    @odettebarengeke2469 Год назад +1

    Jamani enzi za kanumba ‘ Gutale Ali kuweko wapi

  • @Lucy-bn1tz
    @Lucy-bn1tz Год назад +6

    Nyie nu marafiki wazuri Rutare na Ibra 😅❤❤❤❤ Ila Rutare Bhana 🤣😂 I remember 😂😂😂 Memeeee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤🎉

  • @mutumasamuel
    @mutumasamuel Год назад

    Napenda mtiririko wa hii tamdhilia am from Nairobi

  • @ekorotjamesetabo-gx5yj
    @ekorotjamesetabo-gx5yj Год назад +3

    I feel smart when I see gutale and ibra sure are good friends of Michael.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Dj areni anachukua nafasi kubwa sana sehemu kuliko wanashilingi wote au ndo mwenye mvi

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 Год назад +1

    Dev na maiko watakutana ln jmn

  • @mwanaharusichizikalama7790
    @mwanaharusichizikalama7790 Год назад +6

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ wow amazing like zangu hapo chini hata mbili 😊

  • @mufdatabdallah7341
    @mufdatabdallah7341 Год назад +6

    DJ leo ungetupa tu angalau episode 5 so kwa utamu huu wa shilingi ya Leo😊 😇 maana jn wengi tuliporeka kurejea rejea episode 😎 ila kwa yote tunakushukuru unazidi kutufurahisha na kutunogisha kwenye shilingi 😊

  • @safarikanigibertin9812
    @safarikanigibertin9812 Год назад +2

    Nawependa sana kabisa Épisode 1 Hadi 82

  • @HassanMusa-u6g
    @HassanMusa-u6g Год назад +4

    Yaani apa shilingi wametukamata watu hatukai jikoni mpaka waarabu watatushtukia chap chap tunakimbilia shilingi

  • @hdbd8187
    @hdbd8187 Год назад

    Hongereni jamani mambo shilingi nawapenda sana nyote kwautamu wa shilingi

  • @yusroman1626
    @yusroman1626 Год назад +4

    Kidogo afadhali🎉❤❤❤

  • @joshuakorir2003
    @joshuakorir2003 Год назад +2

    Nawapenda sana hawa marafiki wawili wa michol

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    We nzee nkunde ni mnafiki mkeo umemchapa vizuri kisha unajihemua hapo yarabi nijaaliye marafiki wema kama alio wapata maiko

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Jamani butale eti memembe aa Jamani mungu azidi kuwatunza nyote

  • @MuhangiKambaleking
    @MuhangiKambaleking 11 месяцев назад

    Yani mwanangu butale WE ninoma Pata tano👊

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np Год назад

    Kweli marafiki wa maiko hongela zao ziwafikie walipo

  • @faquebacar794
    @faquebacar794 Год назад +2

    Hooii wadau vip niaje Aya mbili basi

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Haaaaa hairini atoa machungu kwa mwenyekiti mtarajiwa jamani nawapenda sana cutale na ibra maana nye ni marafiki wa kweli

  • @AishaMunga-wn3pd
    @AishaMunga-wn3pd Год назад +2

    Kweli shilingi nihuitafute kwa bidii jmn .mwenye kiti mtarajiwa mzee kijana yamemkuta 😂😂😂niko tu najiafurahisha

  • @MwajumaMapemba
    @MwajumaMapemba Год назад

    Wakwanza leo nipen like zang 🎉🎉

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Год назад +2

    😂😂😂😂😂 airene n Mzee mirambo waniacha hoi 😂😂😂😂

  • @IluMshana-ni8xf
    @IluMshana-ni8xf Год назад +8

    Ila irene na mboni nawasalimia mama zangu shikamooni😂😂😂😂
    Kum beba Mirambo sio kazi ndogo mjue😂😂😂😂😂

    • @kitwanathabiti
      @kitwanathabiti Год назад

      Ni kweli kabisa

    • @shakilabakari6928
      @shakilabakari6928 Год назад +1

      😂😂😂😂yaan hatari sasa cjuw ilikuwaje jinsnya kubebana😅😅😅 na mirambo

    • @khadijatwaha7684
      @khadijatwaha7684 Год назад

      Kwanza sijui icho kipensi ya mirambo ni fashion ya wapi😂😂

    • @mtuariziki388
      @mtuariziki388 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @mamasalhat
      @mamasalhat Год назад

      ​@@khadijatwaha7684nimecheka Mzee ananipa burudani huyu😂😂😂

  • @salafinatanzani2813
    @salafinatanzani2813 Год назад +2

    Wow Mashaallah nawapenda wote 😊😊❤❤

  • @siliviaezekiely8945
    @siliviaezekiely8945 10 месяцев назад

    Gutale😂😂😂😂😂😂😂😂😂memembe🎉🎉🎉 mau mengi sana

  • @kamarhelo
    @kamarhelo Год назад +1

    Jamani wangapi mmeyaona mahaba ya mkude leo

  • @MwanajumaShaban-c5k
    @MwanajumaShaban-c5k Год назад

    Mzee mirambo kapatkana kw mbwembwe zote zile😂😂😂😂

  • @HassanMusa-u6g
    @HassanMusa-u6g Год назад +2

    Napenda sana kitale vituko vyake sasa Sina mbavu nainjoi sana nawapenda wote

  • @louiseruru8812
    @louiseruru8812 Год назад +1

    Nawapenda sanaa musidu kawize kudupa zinazo fat

  • @NeemaHashim-c2p
    @NeemaHashim-c2p Год назад +1

    😂😂😂😂😂gutal bhna kwan lazma ugeze kingeeee😅

  • @ashuuabdu1638
    @ashuuabdu1638 Год назад +1

    Shangazi rudi uone mkazamwana

  • @JacksonStanislaus
    @JacksonStanislaus Год назад

    Hahahahahaahahaha gutale nye Nye Nye Nye, nmdunde Nini!!!❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉❤🎉🎉🎉😂😂😂

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Год назад

    Memembe😂😂😂😂gutale bhana

  • @IbrahimJuma-kz9li
    @IbrahimJuma-kz9li Год назад

    Hii tam mzee baba

  • @zahertanzanian8583
    @zahertanzanian8583 Год назад +1

    Gutale amesema amembembembe(I remember)😂😂

  • @linnieMercie-dn8no
    @linnieMercie-dn8no Год назад

    Wanaume wanono kama huyu mzee ndo wanakua na uume kama doti alafu unapata wao ndo nambari moja kwa usherati

  • @fatumamwayawe7598
    @fatumamwayawe7598 Год назад +2

    Gutale 😂😅❤❤❤

  • @khadijatwaha7684
    @khadijatwaha7684 Год назад

    Mwenyekit kiboko kapiga mwenyew na anauguza mwenyew 😂🤣

  • @mwaminishakalili4120
    @mwaminishakalili4120 Год назад +2

    Gitale rafiki mzuri mwema nampendraaaa❤❤❤❤❤

  • @BarakaIbrahim-ttv
    @BarakaIbrahim-ttv Год назад

    Kutalee nakupenda my brother❤❤❤❤

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh568 Год назад

    Ananikera wemaa.. mama ake hajawahi muombea leo anamuombea David

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز Год назад

    Gutale na ibrah nawapenda bure nyie 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @HeriethsamweliNgoda-sq4bi
    @HeriethsamweliNgoda-sq4bi Год назад

    Hakika shilingi ni tamu haichoshi kuitazma

  • @meramwahari6739
    @meramwahari6739 Год назад +1

    Safi sn ❤❤❤❤

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Gutale wewe msukuma safi nakukubali

  • @latifamohamed7692
    @latifamohamed7692 Год назад

    Shukran sana kwamsimu wapili swali langu mbona aunt yake davd niliona alishikwa polis eti akajieleze kituo chapolis yalishia wapi😊

  • @SeifMkaranga-sv6ss
    @SeifMkaranga-sv6ss Год назад +1

    Mbn movi hainogi jmn

  • @khadjaiddlis283
    @khadjaiddlis283 Год назад +1

    Shilingi ❤❤❤nafurahi saana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +1

    Helen anatoa adhabu ktk kumkanda bosi

  • @Smart7-b5e
    @Smart7-b5e Год назад

    Mafunzo mazuri sana kwa hii shilingi

  • @FabriceKatembo
    @FabriceKatembo Год назад +1

    Nedina Rudi yumbani usi tuletea matatizo kweli❤❤❤

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 Год назад +1

    OG nembo wa Mata from Kenya 😂👍

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад

    Mung awabarik sana❤❤❤💥

  • @AsmaWkrtytyo
    @AsmaWkrtytyo Год назад

    Supu ya maboga😂😂😂mkude umetish
    Nyie nyie gutale atajua kiingereza😂😂
    Ila mirambo 😂😂😂😂alipitia judo

  • @hassaniabdi3991
    @hassaniabdi3991 Год назад

    😂😂😂😂nikacheza naoo

  • @DamaIbra-v7d
    @DamaIbra-v7d Год назад +1

    😂😂😂😂 mzee mirambo ulicheza taikondo 😂😂😂

  • @BahatiMussa-p5p
    @BahatiMussa-p5p Год назад

    Jaman shangaz Pamela tumekumis fanya urudi

  • @DamaIbra-v7d
    @DamaIbra-v7d Год назад

    Maiko msomi nakupenda tu bure dj lete mambo

  • @hurumabugali3924
    @hurumabugali3924 Год назад

    Pamoja sana imbula

  • @odettebarengeke2469
    @odettebarengeke2469 Год назад

    Jamani mwili wa mirambo’ anapo kandwa 😂😂😂😂

  • @AminaBashiru-qh8fo
    @AminaBashiru-qh8fo Год назад

    Waoooo mashaallah nawapend woteee❤️❤️❤️❤️

  • @AdejaAhmad-uq4wj
    @AdejaAhmad-uq4wj Год назад

    Nawapenda nyote endeleeni kutuburudisha ❤❤❤❤

  • @JasmineKilimo
    @JasmineKilimo Год назад

    Ireen jamani mbona kama ugomvi 😅😅

  • @fatuma46ramadhan18
    @fatuma46ramadhan18 Год назад

    Mzee mirambo😂😂😂😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Yajayo yanafrahisha David moto maiko moto patam hapo

  • @MulemangaboKahasha
    @MulemangaboKahasha Год назад

    Kwakweli naipenda

  • @samwelyeliudsamwelysamwely4021
    @samwelyeliudsamwelysamwely4021 11 месяцев назад

    Mwambie supu ya pweza

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث

    😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤maiko bwana

  • @IluMshana-ni8xf
    @IluMshana-ni8xf Год назад

    Ila kzi nzur sana

  • @yelemia2004
    @yelemia2004 Год назад

    Wekeni biti muvi isinyaze sana

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Год назад

    Gutare unakiti chako pepon ammememba😂

  • @JaredOdhiambo-r1g
    @JaredOdhiambo-r1g 10 месяцев назад

    Bwana Mirambo karambwa

  • @RehemaMbwana-m3w
    @RehemaMbwana-m3w Год назад

    Dj mwendelezo pris

  • @davidmayuni4830
    @davidmayuni4830 Год назад

    Wema muogope mungu ww

  • @يحييالجابري-ح1ه
    @يحييالجابري-ح1ه Год назад

    GUTALE 😂😂😂😂😂😂MEMEMBE😂😂😂

  • @janerosejuma5840
    @janerosejuma5840 Год назад

    Thanks DJ keep up good job

  • @ndabag9004
    @ndabag9004 Год назад

    Manesi wengine bana et KARIBU TENA?🤣🤣🤣🤣

  • @نجمةكينيا
    @نجمةكينيا Год назад

    urafiki nikama uyo 🎉🎉🎉

  • @ancillarneema
    @ancillarneema Год назад

    😂😂😂😂mzee anakukomoa ju ulimsaliti na rafiki yake

  • @nadzuwamangale1186
    @nadzuwamangale1186 Год назад

    Mwendlz dj ❤❤❤❤

  • @sitimwarakwe1830
    @sitimwarakwe1830 Год назад +1

    Asante Dj twasubiri episode 83😅

  • @latifamohamed7692
    @latifamohamed7692 Год назад

    Mbona hamtumi muendelezo mashabiki zenu twachungulia wapi time shaghala😅

  • @mabulatv3792
    @mabulatv3792 Год назад

    Usicheleweshe EP sod

  • @KadzoKatana-ot3zs
    @KadzoKatana-ot3zs Год назад +1

    hii.n.hatari.wema.yuajua.ni.devid.ndoo.anaemkatia.kumbewe.uslolijua.nI.sadana.usituated.wa.gizaak.mAmanda.yan😢😢😢 5:15

  • @IluMshana-ni8xf
    @IluMshana-ni8xf Год назад

    Wema kwenye moja na mbili😂😂😂😂😂